Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, November 10, 2009

BMT YAITAKA TBF KUTOAHIRISHA MKUTANO

Katibu Mkuu wa Baraza la Michezo la Taifa BMT Henry Lyhaya amewataka viongozi na wagombea Uongozi wa Shirikisho wasiharishe tena tarehe Mpya ya uchaguzi walioipanga.
Akiongea na kipindi cha Michezo na Burudani Katibu Lyhaya amesema hii ni mara ya tatu kuharishwa kwa uchaguzi kutokana na sababu mbalimbali.
Amefahamisha kwamba sababu nyingine ni za msingi lakini si busara kuendelea kuvunja ni bora wafanye jitihada za makusudi ili wamalizane na suala la uchaguzi huo.
Hapo awali uchaguzi huo ulipangwa kufanyika Oktoba 16 baadaye Oktoba 23, Oktoba 30 na sasa wamepanga Novemba 28 mwaka huu jijini Dar es Salaam.
Kuchelewa kwao kufanya uchaguzi kunanyima fursa ya kufanyika uchaguzi katika mikoa ambayo hadi hii leo bado hawajafanya.
Vyama ambavyo vimeshafanya uchaguzi ni Ruvuma, Tanga, Mara, Arusha huku Chama cha Mchezo huo Mkoa wa Dar es Salaam wao wamepanga kufanya uchaguzi wa kubadirisha Uongozi Decemba mwaka huu

No comments :

Post a Comment