Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, November 17, 2009

RT YAKABIDHI VIFAA VYA RIADHA KWA WAZIRI WA ULINZI

Katibu Mkuu wa Shirikisho la Riadha Nchini (RT) Suleiman Nyambui (kushoto) akimkabidhi seti ya jezi za kukimbilia, waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Bw. Lawrence Masha, Dar es salaam wakati wa hafla ya makabidhiano na wadau mbalimbali wa ulinzi shirikishi anaeshuhudia kulia ni Mkuu wa Jeshi la Polisi, Bw.Said Mwema.(Picha na Rajabu Mhamila)

No comments :

Post a Comment