Klabu ya Yanga imekanusha kupokea taarifa ya kurejea kwa wachezaji iliyowauza kwa mkopo katika klabu ya Moro United na African Lyon.
Lusi Sendeu ni Afisa Habari wa klabu ya Yanga amesema taariaf hizo nao wamezisikia katika vyombo vya habari lakini hawana taarifa nazo, na kudai pindi zitakapowafikia watalifanyia kazi na kutoa maamuzi.
Taarifa za kuaminika mchezaji Casto Mumbala aliyekuwa akicheza kwa mkopo African Lyon na Abubakari Mtiro aliyekuwa kwa mkopo Moro Unted imebainishwa wametemwa kufuatia viwango vyao kushuka.
RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN ATOA MKONO WA EID KWA WENYE UHITAJI DODOMA
-
Mkuu Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary S. Senyamule Machi 30,2025 amekabidhi kwa
niaba ya Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Daktari Samia
Suh...
10 hours ago
No comments :
Post a Comment