Mwenyekiti wa Bodi wa Kampuni ya bia ya Serengeti jaji, Mark
Bomani (kulia) akimkabidhi hundi ya shilingi milioni.12 kwa Mratibu
wa Kamati ya kupanda Mlima Kilimanjaro Bw. Joseph Kitani, wakati
wa uzinduzi wa Sherehe za kupanda Mlima uho, Dar es salaam jana,
anaeshughudia katikati ni Mjumbe wa Kamati hiyo na Diwani wa Kata
ya Mchikichini Bw. Leonard Lupilya.(Picha na Rajabu Mhamila)
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment