Chama cha mchezo wa pooltable cha kulipwa hapa nchini PT, kinasaka fedha zaidi ya million 14 za maandalizi ya timu ya taifa itakayoshiriki mashindano ya kimataifa ya mchezo huo yatakayoafanyika mwishoni mwa juni na kumalizika July mwakani nchini Uingereza.
Rais wa PT, Chatta Michael amefahamisha kwamba wanatarajia kufanya mashindano ya ndani ya nchi ili wapatikane wachezaji wa tano watakaoshiriki mashindano hayo, huku chama kkiwa hakina uwezo wa kuzipata fedha za maandalizi hayo.
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment