Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Friday, November 27, 2009

MSONDO KUWABURUDISHA WA ZANZIBAR

Wanamuziki wa MSONDO MUSIC BAND wakiwajibika wakati wa
onesho lao lililofanyika Dar es salaam juzi kushoto ni Eddo Sanga na
Rashidi Mwezingo.(Picha na RAJABU mhamila)
Bendi ya Msondo Ngoma Music inatarajia kufanya onesho maalumu kwa wakazi wa Zanzibar wakati wa sikukuu ya Idd el Hajj kesho
Akizungumza jana,Msemaji wa bendi hiyo Rajabu Mhamila 'Super D' alisema pia watatumia onesho ilo kutambulisha nyimbo zao zilizo katika albam mpya ya huna shukurani,hikiwa na nyimbo za Kiapo Mama Cos, Haki yangu.na nyingin
''Onesho litafanyika katika ukumbi wa Gymkhana Zanzibar, tunaamini mashabiki wetu wa Zanzibar watafurahia hili onesho la aina yake kwa kuwa tumejipanga vema alisema Mhamila
Pia alisema watatambulisha wimbo mpya wa mwanamuziki Eddo Sanga uitwao Lipi jema na kwamba kwa sasa kundi hilo lipo juu, hivyo kuwataka mashabiki wa Zanzibar wajihandae kupata vitu vya uhakika Nae Mkurugenzi wa kundi hilo Muhidini Gurumo alisema wamejipanga vizuri na kuwa Idd Pili watatumbuiza kwenye ukumbi wa CCM kata 14 Temeke jijini Dar es salaam

No comments :

Post a Comment