Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, November 11, 2009

UCHAGUZI TBF WASUASUA

Uchaguzi wa Shirikisho la mpira wa kikapu uliopangwa kufanyika Novemba 28 mwaka huu unaweza usifanyike kutokana na sikukuu ya Idd Alhaj.
Uchaguzi huo uliosogezwa mbele mara tatu mfululizo unaonekana kusuasua kutokana na ukata wa kifedha.
Hadi hii leo wagombea waliojitokeza ni 25, baadhi yao ni Nafasi ya Urais, Richard Kasesela, Mussa Mziya, Jakson Kalikumtima na Phaes Magesa, katika Nafasi ya Makam wa Rais Ahmed Rajab Ahmed, Alijua Mwakalinga ma Alexander Msoffe.
Wengine nafasi ya katibu Msaidizi ni Robert Manyerere, John Nash, Oden Mmbaga, Prosper Mushi na Selemani Semunyu anayewania nafasi ya kamisheni ya watoto.

No comments :

Post a Comment