Uchaguzi wa Shirikisho la mpira wa kikapu uliopangwa kufanyika Novemba 28 mwaka huu unaweza usifanyike kutokana na sikukuu ya Idd Alhaj.
Uchaguzi huo uliosogezwa mbele mara tatu mfululizo unaonekana kusuasua kutokana na ukata wa kifedha.
Hadi hii leo wagombea waliojitokeza ni 25, baadhi yao ni Nafasi ya Urais, Richard Kasesela, Mussa Mziya, Jakson Kalikumtima na Phaes Magesa, katika Nafasi ya Makam wa Rais Ahmed Rajab Ahmed, Alijua Mwakalinga ma Alexander Msoffe.
Wengine nafasi ya katibu Msaidizi ni Robert Manyerere, John Nash, Oden Mmbaga, Prosper Mushi na Selemani Semunyu anayewania nafasi ya kamisheni ya watoto.
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment