Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, November 17, 2009

YANGA WAHITIMISHA LIGI KUU BARA MZUNGUKO WA KWANZA

Mabingwa watetezi Yanga wamekamilisha mzunguko wa kwanza wa ligi kuu Tanzania Bara kwa kuizaba timu ya Tanzania Prison kwa Jumla ya magoli 4-2 katika mchezo uliyopigwa uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam.
mashujaa wa Yanga katika mchezo huo alikuwa ni Mrisho Khalfani Ngasa aliyefunga magoli mawili, Kigi Makasi na Athumani Iddi Chuji kwa shuti la mbali.
Magoli ya Tanzania Prison yalifungwa na John Matei na Jackob Ibrahim.
Yanga imemaliza msunguko wa kwanza wa Vodacom Premiur League ikiwa imejikusanyia jumla ya pointi 21 ikishika nafasi ya tatu nyuma ya Azam FC inayoshikilia nafasi ya pili huku wakiwa pointi 12 nyuma ya vinara wa ligi hiyo Simba wenye pointi 33.

No comments :

Post a Comment