Mnyama Simba avunja rekodi ya klabu Yanga katika ligi kuu Tanzania kwa kumaliza duru la kwanza wakiwa na jumla ya 33 ikiwa ni pointi tatu zaidi Yanga katika msimu uliyopita.
Simba imevunja rekodi hiyo ya Yanga iliyowekwa msimu uliyopita baada ya kuwazamisha mabingwa Ngao ya Hisani Mtibwa Suger katika mchezo uliyopigwa kunako uwanja wa Uhuru.
Wauaji wa Simba ni Mussa Hassan Mgosi, Uhuru Suleiman na David Naftari aliyefunga goli la tatu akiunganisha mpira uliyopigwa na Emmanuel Okwi.
Simba imemaliza duru la kwanza la ligi kuu ikiwa inaongoza kwa jumla ya pointi 33 ikiwa haijapoteza mchezo hata mmoja.
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment