Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Friday, November 13, 2009

YANGA - KWAHERI BARASA

Uongozi wa klabu ya Yanga umempa mkono wa kheri popote aendako Winga machachari atumiae guu la kushoto Mkenya Mike Barasa kufuatia mchezaji huyo kutoonyesha ushirikiano wa kutosha kama atabakia Jangwani ama laa.
Luis Sendeu Akizungumza bila kumeza mate wala kusita na waandishi wa vyombo mbali mbali vya Habari za michezo katika Jengo lenye Mvuto pengine kuliko vilabu vyote amesema wameamua kuutangazia Umma juu ya hatma ya mchezaji huyo kuwa kwa sasa hawatakuwa naye.
Yanga katika hatua nyingine wamewakumbusha Wanachama wao kuwa waanze kuzilipia kadi zao kabla ya uchaguzi hapo mewakani.

No comments :

Post a Comment