Mchuano ya Mabara ya Jumuia ya madola iliyopagwa kufanyika Desemba mwaka huu mjini Abuja nchini Nigeria imepigwa kalenda hadi hapo itakapotangazwa tena.
Akiongea na kipindi cha Michezo na Burudani Katibu Mkuu wa chama cha mchezo huo hapa nchini TAHA, Nicolas Mihayo amesema timu ya taifa ya Tanzania imepata nafasi ya kuarikwa katika michuano hiyo pamoja na Cameroon na India.
Amefafanua kuwa kusogezwa mbele michuano kutasaidia kujiandaa vyema katika ushiriki huo kwa kuwa timu ya Tanzania itachaguliwa katika michuano ya Afrika Mashariki na kati yatakayoanza Novemba 14 visiwani Zanzibar.
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment