Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, November 3, 2009

MICHUANO YA JUMUIYA YA MADOLA ABUJA YASOGEZWA MBELE

Mchuano ya Mabara ya Jumuia ya madola iliyopagwa kufanyika Desemba mwaka huu mjini Abuja nchini Nigeria imepigwa kalenda hadi hapo itakapotangazwa tena.
Akiongea na kipindi cha Michezo na Burudani Katibu Mkuu wa chama cha mchezo huo hapa nchini TAHA, Nicolas Mihayo amesema timu ya taifa ya Tanzania imepata nafasi ya kuarikwa katika michuano hiyo pamoja na Cameroon na India.
Amefafanua kuwa kusogezwa mbele michuano kutasaidia kujiandaa vyema katika ushiriki huo kwa kuwa timu ya Tanzania itachaguliwa katika michuano ya Afrika Mashariki na kati yatakayoanza Novemba 14 visiwani Zanzibar.

No comments :

Post a Comment