Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, November 10, 2009

TAIFA STARS JUMATANO KUCHEZA TENA NA YEMEN

Timu ya taifa kesho inatupa karata yake ya tatu katika mchezo wa kirafiki dhidi ya timu ya taifa ya Yemen.
Afisa Habari wa shirikisho la kandanda Tanzania TFF Florian Kaijage ambaye ameambatana na Taifa Stars nchini Yemen amesema timu imejiandaa vema kuhakikisha inalinda heshima ya Taifa katika mchezo huo ambao ni wa pili.
akizungumza nami kwa njia ya simu nimemuuliza, moja kwa moja toka Yemen amesema hali ya wachezaji ni nzuri na wamaefanya mazoezi jana na leo.
Kaijage amesema ni Mrisho Ngasa pekee ndiye aliyekuwa akisumbuliwa na Malaria lakini kwa sasa hali yake ni nzuri na leo amefanya mazoezi.
Amesema katika mchezo wa Kesho Taifa Stars inauhakika wakuibuka na ushindi dhidi ya Yemen katika mchezo wa pili wa kirafiki.

No comments :

Post a Comment