Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Thursday, November 5, 2009

TIMU YA TAIFA YA SOKA YA WANAWAKE YAINGIA KAMBINI

Timu ya Taifa ya Wanawake ya Tanzania Twiga Stars jumla ya wachezaji 20 wametangazwa leo kwa ajili ya kuanza mazoezi ili kujiandaa na Mashindano ya Afrika kwa nchi za Magharibi yatakayofanyika Nigeria mwishoni mwa mwezi huu,
Akizungumza na waandishi wa habari Kocha mkuu wa Timu hiyo Charles Bonifas Mkwasa amesema wachezaji wote wanatakiwa waripoti Ijumaa jioni mazoezini kwa kipindi chote kabla ya kwenda Nigeria.
Mashindano hayo yajulikanayo West Africa Football Union ambapo kuna timu kama Nigeria ,Ghana,Guinea,Senegal,Sieraleon Mali, na Tanzania kama wageni waalikwa.

No comments :

Post a Comment