Timu ya Taifa ya Wanawake ya Tanzania Twiga Stars jumla ya wachezaji 20 wametangazwa leo kwa ajili ya kuanza mazoezi ili kujiandaa na Mashindano ya Afrika kwa nchi za Magharibi yatakayofanyika Nigeria mwishoni mwa mwezi huu,
Akizungumza na waandishi wa habari Kocha mkuu wa Timu hiyo Charles Bonifas Mkwasa amesema wachezaji wote wanatakiwa waripoti Ijumaa jioni mazoezini kwa kipindi chote kabla ya kwenda Nigeria.
Mashindano hayo yajulikanayo West Africa Football Union ambapo kuna timu kama Nigeria ,Ghana,Guinea,Senegal,Sieraleon Mali, na Tanzania kama wageni waalikwa.
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment