Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, November 17, 2009

TAFCA - YAWASHANGAA WANAOMZODOA MAZIXIMO

Katibu mkuu wa Chama cha Makocha hapa nchini TAFCA Egini Mwasamaki ameomba watanzania wakae kimya na waache kumuingilia kocha mkuu Mbrazil Maxio Maximo ili afanye kazi yake vizuri.
Akizungumza na kipindi cha michezo cha Radio Times FM Mwasamaki amesema Maximo yeye ni kocha ambaye anaifahamu vyema kazi yake na mchezo iliyochezwa Misri na Yemeni ni majaribio na si ushindani hivyo si lazima timu ifunge.
Aidha ameongeza kwamba kitendo cha kumkosoa na kumzomea hakijengi ila anapofanya vizuri pia asifiwe na ushauri si lazima haupokee na kuufanyia kazi bali silaha ya kufundiosha anayo mwenyewe.

No comments :

Post a Comment