Zaidi ya timu kumi za mchezo wa ngumi zimethibitisha kushiriki mashindano ya mchezo huo ya vijana yanayotarajiwa kuanza Nov 24 hadi 29 mwaka huu kwenye uwanja wa ndani wa Taifa uliopo jijini hapa.
Katibu Mkuu wa Chama cha Ngumi za ridhaa hapa nchini BFT, Makore Mashaga amefahamisha kwamba mashindano hayo ya kutafuta klabu bigwa ya vijana vijana inashirikisha wachezaji kutoka klabu zote hapa nchini.
klabu zilizothibitisha ni Sifa, Magereza, JKT, Kariakoo, Azimio, Mavituz, Mtoni, Mbagala, Makongo, Urafiki, Mlandizi, Luaha Galax na Temeke.
WAJUMBE WA MKUTANO MKUU WA UWT RUFIJI WAKUBALIANA OKTOBA WANATIKI KWA DKT
SAMIA
-
Mwenyekiti wa UWT wilayani Rufiji Rehema Mlawa ameongoza mkutano Mkuu wa
jumuiya hiyo na kuongoza upigaji wa kura za maoni za kupata Madiwani wa
viti ...
10 hours ago
No comments :
Post a Comment