Zaidi ya timu kumi za mchezo wa ngumi zimethibitisha kushiriki mashindano ya mchezo huo ya vijana yanayotarajiwa kuanza Nov 24 hadi 29 mwaka huu kwenye uwanja wa ndani wa Taifa uliopo jijini hapa.
Katibu Mkuu wa Chama cha Ngumi za ridhaa hapa nchini BFT, Makore Mashaga amefahamisha kwamba mashindano hayo ya kutafuta klabu bigwa ya vijana vijana inashirikisha wachezaji kutoka klabu zote hapa nchini.
klabu zilizothibitisha ni Sifa, Magereza, JKT, Kariakoo, Azimio, Mavituz, Mtoni, Mbagala, Makongo, Urafiki, Mlandizi, Luaha Galax na Temeke.
RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN ATOA MKONO WA EID KWA WENYE UHITAJI DODOMA
-
Mkuu Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary S. Senyamule Machi 30,2025 amekabidhi kwa
niaba ya Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Daktari Samia
Suh...
4 hours ago
No comments :
Post a Comment