Ligi kuu Tanzania Bara imeendelea tena leo kwa mchezo mmoja ambapo timu ya Majimaji imefanikiwa kuibuka na ushindi wa goli 3-2 dhidi ya timu ya Moro United.
Kufuatia ushindi huo kunaifanya Moro United sasa kujikusanyia jumla ya pointi 18 ikilingana na Yanga na Mtibwa Suger.Mchezo ulikuwa wa kashkashWANAUME KAZINI
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment