
Ligi kuu Tanzania Bara imeendelea tena leo kwa mchezo mmoja ambapo timu ya Majimaji imefanikiwa kuibuka na ushindi wa goli 3-2 dhidi ya timu ya Moro United.
Kufuatia ushindi huo kunaifanya Moro United sasa kujikusanyia jumla ya pointi 18 ikilingana na Yanga na Mtibwa Suger.

Mchezo ulikuwa wa kashkash

WANAUME KAZINI
No comments :
Post a Comment