Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, August 7, 2013

AIRTEL YATOA CHAKULA CHA FUTARI NA IDDI KWA YATIMA DAR



 Afisa mauzo wa Airtel,  Bw Salehe Safi  akimkabidhi  Bibi  Saada Omary
moja ya zawadi zilizotolewa na kampuni za simu za mkononi  ya Airtel
kwenye kituo cha watoto yatima kinachofahamika kwa jina la Mwana
Orphanage Center kilichopo Vingunguti jijini Dar es salaam.   AIRTEL
ilitoa sukari, mchele, mafuta, sabuni, maziwa na Unga wa ngano
kwaajili ya kumalizia mwezi wa Ramadhani na kusheherekea sikukuu ya
IDDI.


Baadhi ya watoto yatima katika kituo cha Mwana Orphanage kilichopo
maeneo ya Vingunguti jijini Dar es salaam, wakiwa wameshikilia baadhi
ya zawadi walizokabidhiwa na kampuni ya simu za mkoni Airtel Tanzania.
AIRTEL ilitoa sukari, mchele, mafuta, sabuni, maziwa na Unga wa ngano
kwaajili ya kumalizia mwezi wa Ramadhani na kusheherekea sikukuu ya
IDDI.

No comments :

Post a Comment