Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, August 14, 2013

WASHINDI WA AIRTEL YATOSHA WAPEWA ZAWADI ZAO MJINI DODOM



 Afisa masoko wa Airtel Hendrick Werner (kushoto) wakifurahia wakati wa hafla fupi ya kumkabidhi pesa taslimu shilingi milioni moja, Siasa Yahaya (katikati)aliyeibuka mshindi kupitia promosheni maalumu ya Airtel yatosha.Hafla hiyo ilifanyika katika ofisi za Airtel Dodoma. Kushoto ni David Nkwadi ambaye ni mfanyakazi wa kitengo cha huduma kwa
wateja wa Airtel Dodoma.
Afisa masoko wa Airtel  Dodoma, Hendrick akimkabidhi mshindi wa wiki wa promosheni ya Airtel Yatosha Bw. Siasa Yahaya ambaye aliibuka mshindi kupitia droo maalum ya  YATOSHA kwa wiki hii, promosheni hii inaduma kwa siku 90. hafla fupi ya kumkabidhi pesa Bw Yahaya ilifanyika katika ofisi za Airtel Dodoma.

No comments :

Post a Comment