Katibu wa chama cha Baiskeli Kanda ya Ziwa(KAMWASHI), John
Elisha akizungumza na waandishi wa habari kuhusu mashindano ya Baikeli Kandaya
ya Ziwa yanayojulikana kwa “Safari Bike Race” yanayotarajiwa kufanyika kesho
Mkoani Shinyanga wakati wa kusherehekea sikukuu ya Nane nane.kutoka kulia ni
Mratibu wa mashindano hayo,Peter Zacharia,Meneja matukio Kanda ya Ziwa
TBL,Erick Mwayela,Meneja mauzo Syanyanga TBL,Robert Michae na Mwenyekiti wa
chama hicho, Elisha Elias.
ENEO LA HIFADHI YA NGORONGORO NI URITHI WA DUNIA, TUENDELEE KULITUNZA; DKT.
MPANGO.
-
Mwandishi wa NCAA, Arusha.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Isdor
Mpango amesema eneo la Hifadhi ya Ngorongoro ambalo n...
1 day ago
No comments :
Post a Comment