Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, August 6, 2013

RAIS WA ZANZIBAR DKT.SHEIN AFUTARISHA IKULU JANA




 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein,(wa tatu kulia) akiwa na Viongozi wakati wa futari aliyowaalika katika viwanja vya Ikulu Mjini Zanzibar leo usiku.
  Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein,(wa pili kulia) akiwa na Viongozi akina mama wakati wa Futari aliyowaandalia katika viwanja vya Ikulu Mjini Zanzibar leo usiku.
 Baadhi ya Akina Mama walioalikwa katika futari iliyoandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein, na Mkewe Mama Mwanamwema Shein,leo usiku katika viwanuja vya Ikulu Mjini Zanzibar.
  Wananchi mbali mbali wa Manispaa ya Mji wa Unguja,waliohudhuria katika futari iliyoandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein,katika viwanja vya Ikulu Mjini Unguja leo usiku.
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Rais Mstaaafu wa Zanzibar alhaj Dk.Amani Abeid Karume, baada ya futari aliyowaalika wananchi katika viwanja vya Ikulu Mjini Unguja leo usiku.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein,akiagana na wananchi katika viwanja vya Ikulu Mjini Unguja leo usiku,baada ya futari aliyowaalika katika mwezi huu wa Ramadhan. Picha na Ramadhan Othman Ikulu.

No comments :

Post a Comment