Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Saturday, August 31, 2013

MASHINDANO YA NGUMI TEMEKE KUFIKIA TAMATI IJUMAA HII



Bondia Festo Ngabo Kushoto na Mohamedi Chibumbui wakipeana mikono kabla ya kuanza kwa mpambano wao wakati wa mashinano ya wazi yaliyofanyika TEMEKE Dar es salaam Chibumbui alishinda kwa TKO ya raundi ya kwanza Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Kocha wa Mchezo wa ngumi Kimataifa Rajabu Mhamila 'Super D' kushoto akibadilishana mawazo na Mwenyekiti wa chama cha mchezo wa Ngumi Mkoa wa Temeke GOGO POA
Bondia Festo Ngabo Kushoto na Mohamedi Chibumbui wakioneshana umwamba wa kutupiana makonde wakati wa mpambano waowa mashinano ya wazi yaliyofanyika TEMEKE Dar es salaam Chibumbui alishinda kwa TKO ya raundi ya kwanza Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Baadhi ya makocha wakibadilishana mawazo kushoto ni Ndame,Remmy Ngabo,Majeshi Kibilabila na Gogo Poa
Mohamedi chibumbui akinyoshwa mkono kluashilia ushindi wake

No comments :

Post a Comment