Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Friday, August 9, 2013

mashindano ya mbio za baiskeli Kanda ya Ziwa (Safari Bike Race 2013) yafana sana



Baadhi ya washiriki wa mbio za Baiskeli Kanda ya Ziwa (Safari Bike Race) 2013, Wanaume wakichuana kuelekea Nzina (Igunga) km 210 kutoka Shinyanga na kurudi wakati wa sherehe za sikuu ya nane nane ambazo hufanyika kila mwaka kwa kanda hiyo.
Mwakilishi wa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Kaimu katibu tawala Rasilimali na Watu wa Shinyanga, Projestas Lubanzibwa(kushoto) akimkabidhi bingwa wa Mbio za Baskeli Kanda ya Ziwa (Safari Bike Race) 2013, Masunga Duba kutoka Mwanza, kitita cha shilingi milioni moja (1000000/=) zilizofanyika Mkoani Shinyanga wakati wa sherehe za siku kuu ya nanene ambazo hufanyika kila mwaka.
Bingwa wa Mbio za Baskeli Kanda ya Ziwa (Safari Bike Race) 2013, Masunga Duba kutoka Mwanza(kulia) akionyesha kitita cha shilingi milioni moja (1000000/=) mara baada ya kukabidhiwa na mwakilishi wa Mkuu wa Mkoa Kaimu katibu tawala Rasilimali na Watu wa Shinyanga, Projestas Lubanzibwa zilizofanyika Mkoani Shinyanga wakati wa sherehe za siku kuu ya nanene ambazo hufanyika kila mwaka.
Baadhi ya wakazi wa Mkoa wa Shinyanga wakiwa wamefurika katika Uwanja wa mpira wa Miguu wa Kambarage Mkoani Shinyanga kushuhudia mbio za Baiskeli kwa kanda ya Ziwa zinazojulikana kwa “Safari Bike Race” wakati wa kusherehekea sikuu ya nane nane ambazo hufanyika kila mwaka kwa kanda hiyo.
Msanii wa kutoka kampuni ya Integrated Comminications,Jembe Ulaya akitumbuiza mara baada ya mashindano ya Mbio za baiskeli Kanda ya Ziwa(Saafari Bike Race) wakati wa kusherehekea sikuu ya nane nane ambazo hufanyika kila mwaka kwa kanda hiyo.

No comments :

Post a Comment