Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na
mkewe Mama Salma Kikwete wakimjulia hali mwenyekiti wa UDP Mh.John
Momose Cheyo aliyelazwa katika hospitali ya Aga Khan jijini Dar es
Salaam.Katikati ya Rais na Mama Salma ni Mjukuu wa Mheshimiwa Cheyo
anayejulikana kama Gabriel Cheyo.Picha Freddy Maro-IKULU
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment