Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Friday, August 2, 2013

NASSIBU RAMADHANI AMTAMBIA JUMA FUNDI




IMG_4971
Promota wa mpambano wa masumbwi Side Mkigoma (katikati) akiwainua mikono juu mabondia Juma Fundi (kushoto) na Nassibu Ramadhani.
BONDIA Nassibu Ramadhani amejigamba kuwa atamchakaza mpinzani wake Juma Fundi wakati wa mpambano wao utakaopigwa siku ya Idi pili katika ukumbi wa friends corner Manzese

Aliongeza kwa kusema unajua mimi anaeniumiza kichwa kwa sasa ni Fransic Miyeyusho pekee kwa Tanzania hii kwa kuwa nilicheza nae na nikashindwa kummudu ata hivyo ipo siku nitaomba mpambano mwingine wa marudiano nae hivyo nimemuweka kiporo

Bondia huyo aliendelea kujinasibu kwa kusema kwa sasa mimi ni nambari One hivyo fundi ategemee kipigo cha mbwa mwizi kwa ni ato furukuta
Naomba mashabiki wangu wa ngumi mjitokeze kuja kunishangilia ata kama wewe sio shabiki wango njoo uone ngumi nitakazokuwa nikicheza na utamini kuwa mimi ni kiboko yao

Ramadhani ambaye ucheza kwa kasi kubwa sana awapo ulingoni amekuwa kivutio kikubwa kwa mashabiki na kumpachika jina la Mann Paquaio wa Philipins kwa kuwa wote wanatanguliza mguu wa kulia mbele 

Siku hiyo kutakuwa na uhuzwaji wa DVD mpya kwa ajili ya mafunzo ya mchezo wa masumbwi zatakazokuwa zikisabazwa na kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D'

pia siku hiyo kutakuwa na mapambano mengine ya utangulizi wakisindikiza mpambano huo

No comments :

Post a Comment