Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Thursday, August 1, 2013

NEY WA MITEGO ATUMA 'SALAMU ZAO’




Na Elizabeth John

MKALI wa muziki wa kizazi kipya nchini, Emmanuel Elibariki ‘Ney wa Mitego’ Anatarajia kuachia kazi yake mpya inayokwenda kwa jina la ‘Salamu zao’ hivi karibuni.

 Ney wa Mitego ni kati ya msanii ambaye anafanya vizuri katika soko hilo, na pia anasema ameamua kufanya kazi hiyo kwa lengo la kuburudisha na kuwaelimisha wapenzi wa kazi zake.

Akizungumza Dar es Salaam leo, Ney wa Mitego alisema kazi hiyo anatarajia kuanza kuisambaza wiki ijayo ambapo kwa sasa anatarajia kuanza ‘kushuti’ picha mbalimbali kwa ajili ya video ya kazi hiyo.

“Wiki hii naanza kushuti katika sehemu mbalimbali, mashabiki wanatakiwa kuupokea vizuri wimbo huu kwani ni bonge la kazi, kama wanavyonijua mashabiki wangu sijawahi kufanya vibaya katika kazi zangu, naomba tu wakae mkao wa kula kwaajili ya kazi hiyo,” alisema Ney wa Mitego.


Msanii huyo ambaye kwasasa anatamba na kibao chake cha ‘Nasema nao’, aliwaomba mashabiki waipokee kazi hiyo kwani ina ujumbe mzito kwa jamii yote

No comments :

Post a Comment