Akizungumza na waandishi wa habari katika ofisi zaa Tff Rais wa shirikisho hilo la soka hapa Tanzania Leodga Chilla Tenga amesema kuwepo kwa uwanja mpya wa Kimataifa ituwezesha kupata wageni wengi kwa kuuwangalia Uwanja kupitia vyombo mbalimbali vya habari kitu kitakachopelekea timu nyingi kuomba uwanja kwaajilim ya kuutumia.
KAMISHNA BADRU AENDELEA KUIMARISHA UHUSIANO NA JAMII INAYOISHI NDANI YA
HIFADHI YA NGORONGORO
-
Mwandishi wetu Endulen Ngorongoro.
Tarehe 20 Desemba, 2025
Uhusiano kati ya Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) na jamii inayoishi
ndani ya eneo la h...
16 hours ago
No comments :
Post a Comment