Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Friday, September 18, 2009

COCA COLA YALILETA KOMBE LA DUNIA KUZURU TANZANIA

Tanzania ni miongoni mwa nchi 52 katika Afrika, nchi ambayo inatarajiwa kutembelewa na Kombe la Dunia litakalokaa kwa muda wa siku mbili ikiwa ni jitihada za kuitangaza nchi yetu kwenye ramani ya soka.
Akizungumza na waandishi wa habari katika ofisi zaa Tff Rais wa shirikisho hilo la soka hapa Tanzania Leodga Chilla Tenga amesema kuwepo kwa uwanja mpya wa Kimataifa ituwezesha kupata wageni wengi kwa kuuwangalia Uwanja kupitia vyombo mbalimbali vya habari kitu kitakachopelekea timu nyingi kuomba uwanja kwaajilim ya kuutumia.
Kampuni ya Coca Cola ndiyo wadhamini wakuu wa safari hiyo ya utarii ambapo siku nne kuanzia leo huko Zurich,Switzerland itazinduliwa rasmi, kabla ya kuja Afrika litakalokaa kwa zaidi ya miezi miwili, ambapo kilele cha safari hiyo ya utarii itamalizikia Septemba 24 mjini Cairo Misri.Waandishi wa habari pamoja na mdau wa viwanjani wakifuatilia kwa makini mkutano.

No comments :

Post a Comment