Klabu ya wekundu wa msimbazi Simba imesikitishwa na klabu ya Yanga kudai kwamba wanakata rufaa dhidi ya mchezaji Uhuru Suleimani kumchezesha katika michezo ya ligi kuu hali ya kuwa ni mchezaji wa Mtibwa Sukari.
Msemaji wa Klabu ya Simba Cliford Ndimbo amesema hatua hiyo walioichukua yanga ni kutaka kuamishia matatizo yao katika klabu ya Simba kama timu yao inaporoka waangalie marekebisho lakini wasitape tape kumtafuta mchawi.
Amesema kinachotakiwa Yanga iwaambie ukweli wanachama wao sababu za kuboronga na si kuwatupia mzigo wa lawama Simba.
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment