Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, September 16, 2009

SIMBA YAISHANGAA YANGA...!!!

Klabu ya wekundu wa msimbazi Simba imesikitishwa na klabu ya Yanga kudai kwamba wanakata rufaa dhidi ya mchezaji Uhuru Suleimani kumchezesha katika michezo ya ligi kuu hali ya kuwa ni mchezaji wa Mtibwa Sukari.
Msemaji wa Klabu ya Simba Cliford Ndimbo amesema hatua hiyo walioichukua yanga ni kutaka kuamishia matatizo yao katika klabu ya Simba kama timu yao inaporoka waangalie marekebisho lakini wasitape tape kumtafuta mchawi.
Amesema kinachotakiwa Yanga iwaambie ukweli wanachama wao sababu za kuboronga na si kuwatupia mzigo wa lawama Simba.

No comments :

Post a Comment