Bondia Jafeti Kaseba akijifua katika ukumbi wa Tambaza Gyim kujiandaa na pambano dhidi ya Fransisi Cheka toka Morogoro kuwania mkanda litakalo fanyika oktaba 3 katika Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam.
SGR :HATUNA MPANGO WA KUONGEZA NAULI
-
Shirika la Reli Tanzania (TRC) limesema halina mpango wa kuongeza nauli za
usafiri wa Reli ya Kisasa (SGR) kutokana na kupanda kwa bei ya mafuta, kwa
ku...
2 days ago
No comments :
Post a Comment