Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, September 9, 2009

YANGA YAZIDI KUFULIA KATIKA LIGI KUU TANZANIA BARA

Mabingwa wa ligi kuu Tanzania Bara Yanga wameendelea kukwaa visiki katika ligi baada ya kulazimishwa sare na Maafande wa Jeshi la Kujenga Taifa toka Ruvu JKT Ruvu kwa kutoka sare ya magoli 2-2.
Kufuatia sare hiyo Yanga sasa wamejikusanyia pointi 5 tangu kuanza kwa ligi ikiwa tayari wamekwishacheza michezo minne, huku wakiwa na rekodi ya kushinda mchezo mmoja dhidi ya Manyema, sare mbili katika mchezo dhidi ya African Lyon na JKT Ruvu na kupoteza mchezo mmoja dhidi ya Maji Maji.
JKT Ruvu hadi sasa wamejikusanyia pointi 7 wakiwa na rekodi ya kushinda michezo miwili dhidi ya Tanzania Prison na Maji Maji, na kufungwa mchezo mmoja na Mtibwa na sare moja dhidi ya Yanga.

No comments :

Post a Comment