Bondia Christopher Kisinini wa uzito wa juu (Heavyweight) akiwa na meneja wake aliyeketi kulia toka Odyssey International LTD Spiros Hussein Palasli.
Bondia Kisinini ambaye amerejea toka Afrika kusini alipokuwa amejichimbia kwa kupata mafunzo ya mchezo huo wa masumbwi, ametamba sasa anataka kuzichapa na Awadhi Tamimu au AShrafu Suleimani.
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment