Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, September 22, 2009

TFF - BAADA YA WASEMAJI, SASA NI ZAMU YA MAKATIBU KUNOLEWA

Shirikisho la kandanda hapa nchini TFF, limeandaa semina ya siku 2 kwa Makatibu wakuu 12 wa vilabu vinavyoshiriki Ligi kuu Tanzania Bara ya Vodacom itakayofanyika katika ofisi za Shirikisho hilo kuanzia Septemba 24 hadi 25 mwaka huu.
Akizungumza na kipindi hiki Afisa Habari wa TFF Frolian Loimamu Kaijage amesema lengo la kufanya hivyo ni kuwapiga msasa kuhusiana na masuala mbalimbali ikiwa sambamba na kufahamu majukumu yao ya kazi.
Kaijage ameongeza kuwa semina hiyo itaongozwa na Mkufunzi ambae pia ni Mjumbe wa Fifa Henry Tandau.
Wakati huo huo, Kaijage amewataka wadau na wapenzi wa mpira wa miguu wawe na subira kuhusiana na lawama wanazopelekewa Waamuzi kutokana na uchezeshaji mbovu unaotokea katika mzunguko mzima wa ligi kuu.

No comments :

Post a Comment