Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Sunday, September 20, 2009

WATOTO WA KITUO CHA NEEMA WAKIPATA MKONO WA IDDI TOKA ZAIN...!!!

IDDI MBARAKA...!!!IDDI MBARAKAMbunge wa Ilala Mussa Azani Zungu (kushoto) akinywa chai ya asubui katika kituo cha kulea watoto cha Neema Maumba Islamick Center kilichopo Buguruni Malapa Dar es Salaam jana wakati wa kusheerekea sikukuu ya Iddi iliyoandariwa na Kampuni ya Zain wa pili kushoto ni Mkuu wa Masoko wa Kampuni ya Zain Bw, Ismail Katuma na Katibu wa Mbunge huyo Bw,Said Sultani.(Picha na Rajabu Mhamila)
Meneja Uhusiano na Mawasiliano wa Kampuni ya Simu za Mkononi ya Zain, Bi,Beatrice Mallya, wa pili kulia akinywa chai ya asubui na watoto wa kituo cha Neema Maumba Islamick Center kilichopo Buguruni Malapa Dar es Salaam jana wakati wa sikukuu ya iddi iliyoadhimishwa jana kulia ni Mwalimu wa kituo hicho,Bi,Mariamu Dedes na watoto wanaoishi hapo kushoto ni Yusra Omari na Jasmini Kayanga chai hiyo iliandaliwa na Zain.(Picha na Rajabu Mhamila)
IDDI OYEEEEEEEEEEEEEEEEEEIDDI OYEEEEEE

No comments :

Post a Comment