Vinara wa ligi kuu Tanzania Bara Simba ambao hadi sasa wakiwa tayari wamekwishacheza michezo mitatu wamefanikiwa kujikusanyia pointi tisa sawa na Mtibwa Suger.
Simba wanaanza mazoezi leo katika uwanja wa Kiness baada ya mapumziko mafupi baada ya mchezo na Toto Afrcan ya Mwanza.
Simba itaingia kambini rasmi hapo kesho kuanza maandalizi ya mchezo wake wa tarehe 10 siku ya Alhamisi dhidi ya Kagera Suger, mchezo ambao utachezwa katika uwanja wa Uhuru.
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
hawa vijana nawapa heko sana maana wananikuna uchezaji wao wakiendelea hivyo watachukuwa ubingwa na naona hata kinyanganyilo cha shirikisho barani africa naona watafika mbali mwakani
ReplyDeletehawa vijana wananikuna sana kutokana game wanayocheza kama wataendelea hivi watafika mbali na hata kombe la shirikisho mwakani wanaweza fika mbari
ReplyDelete