Baadhi ya waombolezaji wa Msiba wa Mohammed Mpakanjia wakiswalia jeneza kabla ya kwenda kuzika katika makaburi ya Kisutu Dar es Salaam jana.(Picha na Rajabu Mhamila)
Baadhi ya waombolezaji wakiwa wamebeba jeneza la marehamu Mohammed Mpakanjia kwa ajiri ya kwenda kuzika katika makaburi ya kisutu Dar es salaam jana.(Picha na Rajabu Mhamila)
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment