Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, September 2, 2009

WAAMUZI 26 KUSHIRIKI KATIKA MTIHANI WA FIFA

Shirikisho la kandanda Tanzania TFF limetangaza majina 26 ya waamuzi wa kati na waamuzi wasaidizi watakaofanya mtihani wa shirikisho la kandanda Duniani FIFA.
Taarifa hiyo imetolewa na Afisa Habari wa TFF Florian Kaijage ambaye amesema waamuzi wa kati 10 na mwanamke mmoja.
Kaijege amesema mafunzo pamoja na mtihani utafanyika Septemba 12 na 13.
Amewataja majina kuwa ni Kwamanga Tambwe(Ruvuma)Peter Mjaya(Pwani)Israel Nkongo(DSM)Orden Mbaga(DSM)David Paul(Mtwara)Othman Kazi(DSM)Ibrahim KIdiwa(Tanga)Martin Saanya(Morogoro)Dominick Nyamisana(Dodoma)Kenedy Mapunda(DSM) na mwanamke anayewania nafasi ya uamuzi wa kati katika soka ni Judith Gamba wa Dar es Salaam.
Waamuzi wasaidizi ni Samweli Mpenzu(Arusha)Mohamed Mkono(Tanga)John KAnyenye(Mbeya)Hamisi Chang`walu(DSM)Jesse erasmo(Morogoro)Maxmilian Nkongolo(Rukwa)Julius Kasitu(MOrogoro)Anold Bugando(Singida)Godfrey Tumaini(Singida)Chacha Fred(Kagera)Charles Simon(Dododoma).
wanawake niHellen Mduma(DSM)KUdura Omari(Tanga)Zahara Mohammed(DSM)Saada Husein(Mwanza

No comments :

Post a Comment