Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Friday, September 25, 2009

TIMU YA TAIFA YA NETBALL YAJIFUA

Mchezaji wa Timu ya Taifa ya Netbol Wanawake, Naima Boll (kulia) akijiandaa kudaka mpira uku mchezaji wa timu ya taifa wanaume Benjamini Majiga, akijiandaa kuudaka wakati wa mchezo wao wa kujipima nguvu uliofanyika katika viwanja vya sigara chan'gombe ambao timu ya wanawake ilishinda 25 kwa 24.(Picha na Rajabu Mhamila)Kocha mkuu wa timu ya taifa ya Netball ya Tanzania, Kate Capenter akiwapa somo wachezaji.Wachezaji wa Timu ya Taifa ya Netbol wanawake wakiwa mazoezini wakati wa kuchagua wachezaji kumi na mbili watakawowakilisha katika mashindano hayo yanayotarajia kufanyika hivi karibuni jijini Dar es salaam.(Picha na Rajabu Mhamila)

No comments :

Post a Comment