Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Thursday, September 17, 2009

ZAIN WAWAAAAA... SASA KUONGEZA PUNGUZO LA BEI

Kaimu Mkurugenzi wa Masoko wa Zain Tanzania, Kelvin Twissa (katikati) akiwa na Meneja Mawasiliano wa Zain Tanzania, Beatrice Singano Mallya (kushoto) na Mratibu wa programu ya Zain Zawadi, Mwangaza Matotola (kulia) wakionesha kadi na vipeperushi vya programu ya Zawadi kwa Waandishi wa Habari jijini Dar es Salaam baada ya kutangaza kuongeza idadi ya makampuni nchini yatakayotoa zawadi na punguzo la bei kwa huduma na bidhaa mbali mbali nchi nzima kwa wateja wa Zain katika program yake ya Zain Zawadi.Kaimu Mkurugenzi wa Masoko wa Zain Tanzania, Kelvin Twissa (katikati) akizungumza na waandishi wa Habari jijini Dar es Salaam kuhusu Zain kuongeza idadi ya makampuni yanayotoa zawadi na punguzo la bei kwa huduma na bidhaa mbali mbali nchi nzima kwa wateja wa Zain katika programu yake ya Zain Zawadi. Kulia ni Meneja Mawasiliano wa Zain Tanzania, Beatrice Singano Mallya na Mratibu wa Programu ya Zain Zawadi, Mwangaza Matotola (kushoto).

No comments :

Post a Comment