Mkuu wa Kitengo cha udhamini wa Kampuni ya simu za mikononi ya Vodacom, Ibrahim Kaude (kushoto) akimsindikiza mchezaji mwenye kipaji aliyechaguliwa kwa ushirikiano wa Vodacom na Global Soccer Star,Francis Casto,kwenye uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julias Nyerere,Dar es salaam wakati wa safari yake ya kwenda Ubelgiji,kuendeleza kipaji chake katika timu ya Cecle Brugge.(Picha na Rajabu Mhamila)
JAB YAKABIDHI VITAMBULISHO VYA UANDISHI KWA WAANDISHI WALIOKIDHI VIGEZO VYA
KISHERIA
-
Dar es Salaam, Tanzania – Julai 2025
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB),
Wakili Patrick Kipangula, amemkabidhi rasmi ...
4 hours ago
No comments :
Post a Comment