Mkuu wa Kitengo cha udhamini wa Kampuni ya simu za mikononi ya Vodacom, Ibrahim Kaude (kushoto) akimsindikiza mchezaji mwenye kipaji aliyechaguliwa kwa ushirikiano wa Vodacom na Global Soccer Star,Francis Casto,kwenye uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julias Nyerere,Dar es salaam wakati wa safari yake ya kwenda Ubelgiji,kuendeleza kipaji chake katika timu ya Cecle Brugge.(Picha na Rajabu Mhamila)
SGR :HATUNA MPANGO WA KUONGEZA NAULI
-
Shirika la Reli Tanzania (TRC) limesema halina mpango wa kuongeza nauli za
usafiri wa Reli ya Kisasa (SGR) kutokana na kupanda kwa bei ya mafuta, kwa
ku...
2 days ago
No comments :
Post a Comment