Mkuu wa Kitengo cha udhamini wa Kampuni ya simu za mikononi ya Vodacom, Ibrahim Kaude (kushoto) akimsindikiza mchezaji mwenye kipaji aliyechaguliwa kwa ushirikiano wa Vodacom na Global Soccer Star,Francis Casto,kwenye uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julias Nyerere,Dar es salaam wakati wa safari yake ya kwenda Ubelgiji,kuendeleza kipaji chake katika timu ya Cecle Brugge.(Picha na Rajabu Mhamila)
FUKUO LA KUFUKUA MAAJABU YA NGORONGORO LAFUKULIWA
-
Waswahili husema "Dunia ni jumba la maajabu " Ngorongoro haiishiwi maajabu
, Ni kama vile lile fukuo la kufukulia maajabu ndani ya hifadhi ya eneo la
N...
2 hours ago
No comments :
Post a Comment