Baadhi ya washiriki wa mashindano ya Urembo Vodacom miss Tanzania wakiwa katika mchezo wa kuvuta kamba wakati wa siku ya michezo ya washiriki hawo iliyofanyika Dar es salaam jana.(Picha na Rajabu Mhamila)
YANGA YAANZA VIZURI MASHINDANO YA CAF.
-
Kwa mara ya kwanza YANGA imefuta uteja wa kushindwa kupata matokeo mechi
za kwanza za makundi katika michuano ya kimataifa.
Ushindi wa goli moja ulitos...
1 day ago
No comments :
Post a Comment