Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, September 15, 2009

SIKINDE KURUDI NA UJIO MPYA

Hassan Rehani Bichuka akiwajibika katika moja ya maonyesho yao jijini Dar es Salaam.Picha zote na Rajabu Mhamila a.k.a Super D Mnyamwezi.
Bendi ya Muziki wa Dansi Tanzania Sikinde Ngoma ya Ukaye kwa sasa ipo kambini ikijipanga kurudi tena katika chati ya muziki huo hapa nchini ambapo wataanza kutoa burudani siku ya Iddi Mosi watatumbuiza katika ukumbi wa DDC Kariakoo (Old Traford) na Iddi Pili watakuwa Max Bar Ilala Bungoni.

No comments :

Post a Comment