Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Friday, September 18, 2009

EDDO SANGA WA SIKINDE ATUA MSONDO


Wanamuziki wa Msondo music bandi wakiimba wakati wa utambulisho wao wa kujiunga na kundi hilo Dar es Salaam jana, kushoto ni Juma Katundu na Eddo Sanga.(Picha na Rajabu Mhamila)
Na Rajabu Mhamila Super D Mnyamwezi

Kundi la Msondo ngoma music band leo limetangaza wanamziki wake wapya watakaolitumikia kundi hilo kuwa ni Juma Katundu ambae aliondoka na kurudi,Eddo Sanga, Aliyetimukia Sikinde na sasa karudi tena pamoja na Rashidi Mwezingo "Silver Boy" aliyetokea T Respect ambao watashiliki vema katika shamra shamra za sikukuu ya IDDi,inayotaraji kufanyika siku ya jumapili au jumatatu inategemea na muandamo wa mwezi.
Aidha Mkurungenzi wa bendi hiyo Muhidini Gurumo amesema kwa sasa wamejipanga vema kukabiliana na wimbi la ushindani wa muziki, nchini amesema wanatarajia kuzindua albamu yao mpya ijulikanayo kama Huna Shuklani itakayoingia mitaani kuanzia mwezi ujao.

No comments :

Post a Comment