Baadhi ya warembo wanaowania taji la Vodacom miss Tanzania wakifuatilia mada mbalimbali zilizokuwa zinatolewa wakati wa semina ya warembo hawo iliyofanywa na Wizara ya maliasili na Utalii Dar es Salaam.(Picha na Rajabu Mhamila)
KAMISHNA BADRU AENDELEA KUIMARISHA UHUSIANO NA JAMII INAYOISHI NDANI YA
HIFADHI YA NGORONGORO
-
Mwandishi wetu Endulen Ngorongoro.
Tarehe 20 Desemba, 2025
Uhusiano kati ya Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) na jamii inayoishi
ndani ya eneo la h...
16 hours ago
No comments :
Post a Comment