Msanii maarufu wa Luninga na filamu za kibongo steven kanumba, ni mmoja wa wa Tanzania waliowakilisha ndani ya jumba la big brother kama mgeni ndani ya jumba hilo ambapo atakaa humo kwa masaa 24 na wenzake watatu kutoka nchi zingine huku wakiwakaribisha washiriki wa BBA 4 mwaka huu.
Swali ambalo kila Mtanzania anajiuliza mwaka huu tunawakilishwa na nani?
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment