Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, September 15, 2009

MASHINDANO YA KUHIFADHI QUR-ANI YA FANA

Hemed Khamis (kushoto) akipokea Feni kutoka kwa Mgeni Rasmi, Mama Salma Kikwete baada ya kuibuka mshindi wa kwanza wa Juzu tano katika mashindano la kuhifadhi Kuran. Mashindano hayo ambayo yalidhaminiwa na Zain Tanzania yalifikia kilele chake jana katika Shule ya Sekondari ya Al-Haramain jijini Dar es Slaam.Picha na Rajabu Mhamila a.k.a Super DSamira Nasoro: (kushoto) akipokea TV aina ya HITACHI kutoka kwa Mgeni Rasmi, Mama Salma Kikwete baada ya kuibuka mshindi wa kwanza wa Juzu 10 katika mashindano la kuhifadhi Kuran. Mashindano hayo ambayo yalidhaminiwa na Zain Tanzania yalifikia kilele chake jana katika Shule ya Sekondari ya Al-Haramain jijini Dar es Slaam.Picha na Super D Mnyamwezi

No comments :

Post a Comment