Baadhi ya wazee wa Kijiji cha Kwala Mlandizi Kibaha Pwani wakisubiri kuandikishwa wakati wa uhakiki wa majina kwa ajili ya Mpango wa jamii wa Uwasilishaji fedha kwa kaya masikini na wenye mahitaji maalumu inayofadhiliwa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF)kushoto ni Mwarabu Tengeni, Mlangonde Nyange na Asha Ponanga.(Picha na Rajabu Mhamila)
YANGA YAANZA VIZURI MASHINDANO YA CAF.
-
Kwa mara ya kwanza YANGA imefuta uteja wa kushindwa kupata matokeo mechi
za kwanza za makundi katika michuano ya kimataifa.
Ushindi wa goli moja ulitos...
1 day ago
No comments :
Post a Comment