Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Thursday, September 17, 2009

WAZEE WA VIWANJANI NA IVO MAPUNDA

Baadhi ya wadau wakuu wa glob ya Viwanjani wakiwa katika picha ya pamoja na Bwana Harusi mtarajiwa na Golikipa Maarufu nchini Tanzania Ivo Mapunda,Mara baada ya kutoka katika kipindi cha VIWANJANI kinachorushwa na Radio Times FM kila Jumapili kuanzia saa sita kamili mchana hadi saa saba kamili mchana.Kutoka kushoto ni Rajabu Mhamila,Amri Masare na Zahoro Mlanzi kulia.

No comments :

Post a Comment