mwamuzi wa soka wa kimataifa Gwaza Mapunda katutoka
TFF imepokea kwa masikitiko kifo cha mwamuzi mstaafu wa kimataifa, Kanali mstaafu Gwaza Mapunda kilichotokea leo alfajiri katika Hospitali ya Muhimbili Dar es Salaam.
Mapunda alikuwa mjumbe wa Kamati ya Waaamuzi na baadaye Kamati ya Mashindano ya TFF kati ya mwaka 2005 – 2008 na pia alikuwa mjumbe wa kamati ya Utendaji ya Chama cha waamuzi FRAT.
Gwaza Mapunda alianza kujihusisha na masuala ya uamuzi mwaka 1974 na aalkuwa mwamuzi wa kimataifa anayetambuliwa na FIFA kati ya mwaka 1980 hadi mwaka 1984.
TFF itashiriki kikamilifu katika msiba huu ulioifika jamii ya mpira.
Mungu ailaze roho ya Marehemu Gwaza Mapunda mahali pema peponi Amina
Fredrick Mwakalaebela
KATIBU MKUU
MKUU WA KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI WIZARA YA FEDHA ATOA RAI UTOAJI
WA TAARIFA SAHIHI NA KWA WAKATI
-
Mwenyekiti wa Kamati Mawasiliano ambaye pia ni Mkuu wa Kitengo cha
Mawasiliano Serikalini Wizara ya Fedha, Bw. Benny Mwaipaja amewataka
wajumbe wa Ka...
1 hour ago
No comments :
Post a Comment