Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Saturday, September 26, 2009

ZAIN LUGALO FIDDLE YA FANA

Mcheza gofu, Profeser Kamzora akijiandaa kupiga mpira wakati wa mashindano ya gofu ya Zain Lugalo Fiddle yaliyofanyika Ijumaa katika uwanja wa TPDF Lugalo jijini Dar es Salaam . Mashindano hayo yalidhaminiwa na Zain Tanzania .Mchezaji gofu Gidion Sayore (kulia) akipokea zawadi ya kikombe cha kuhifadhi maji Moto kutoka Zain ( Mag) kutoka kwa Samon Sayore baada ya kuibuka mshindi wa pili kwa wazee katika mashindano ya gofu ya Zain Lugalo Fiddle yaliyofanyika katika uwanja wa gofu wa TPDF Lugalo jijini Dar es Salaam .Mchezaji gofu kutoka Morogoro Mama Chilipachi (kulia) akipokea zawadi ya seti ya vyombo vya kunywea chai kutoka kwa Samon Sayore baada ya kuibuka mshindi wa jumla katika mashindano hayo ya gofu ya Zain Lugalo Fiddle yaliyofanyika katika uwanja wa gofu wa TPDF Lugalo jijini Dar es Salaam .Mchezaji gofu Sara Denisi (kulia) akipokea zawadi ya kikombe cha kuhifadhi maji ya Moto kutoku Zain ( Mag) kutoka kwa Samon Sayore baada ya kuibuka mshindi wa kwanza kwa wasichana katika mashindano ya gofu ya Zain Lugalo Fiddle yaliyofanyika katika uwanja wa gofu wa TPDF Lugalo jijini Dar es Salaam. Mcheza gofu, Sophia Mathias akiingiza mpira katika shimo wakati wa mashindano ya gofu ya Zain Lugalo Fiddle yaliyofanyika Ijumaa katika uwanja wa TPDF Lugalo jijini Dar es Salaam .Mashindano hayo yalidhaminiwa na Zain Tanzania .Mchezaji wa gofu, Hatibu Senkoro akiingiza mpira katika shimo wakati wa mashindano ya gofu ya Zain Lugalo Fiddle yaliyofanyika Ijumaa katika uwanja wa TPDF Lugalo jijini Dar es Salaam . Mashindano hayo yalidhaminiwa na Zain Tanzania .Mchezaji gofu, Amina Hamisi akijiandaa kutumbukiza mpira katika shimo wakati wa mashindano ya gofu ya Zain Lugalo Fiddle yaliyofanyika Ijumaa katika uwanja wa TPDF Lugalo jijini Dar es Salaam . Mashindano hayo yalidhaminiwa na Zain Tanzania .

No comments :

Post a Comment