Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Monday, September 28, 2009

MAMA SALMA KIKWETE AFUNGUA MASHINDANO YA KIMATAFA YA NETBALL

Timu ya Taifa ya Netball ya Tanzania imeanza vema michuano ya kimataifa ya Netball katika uwanja wa Taifa kwa kuichapa Lesotho jumla ya magoli 33 - 19
Lesotho hoi, wakimbizwa mbaya uwanja wa Taifa katika mashindano ya kimataifa
KAMA ANASEMA ....ACHAA
KWANINI HIVI TUSIFANYE VIZURI KIMATAIFA ?
HAPA KWELI LAZIMA TUTISHE... ONA KAZI HII
Mchezaji wa timu ya taifa ya Tanzania ya Netiboli,(Taifa Queens), ambaye ni nahodha wa timu hiyo Jackline Sikozi (kushoto) akimtoka mchezaji wa timu ya Taifa ya Lesotho, Malestephano Matrepe wakati wa ufunguzi wa mashindano ya netiboli ya kimataifa yaliyofunguliwa Dar es salaam jana.9Picha na Rajabu Mhamila)Mchezaji wa timu ya taifa ya Tanzania ya Netiboli,(Taifa Queens), Judith Kaginja (kushoto) akitafuta njia ya kumtoka mchezaji wa timu ya Taifa ya Lesotho, Lumbata Pitro wakati wa ufunguzi wa mashindano ya netiboli ya kimataifa yaliyofunguliwa Dar es salaam jana Tanzania ilishinda kwa 33 kwa 19.(Picha na Rajabu Mhamila)Mke wa raisi wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mama Salma Kikwete akiwasalimi wachezaji wakti wa ufunguzi wa michuano ya Netball ya kimataifa.

No comments :

Post a Comment