Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, September 16, 2009

ZAMBIA YAALIKWA CECAFA CUP, TANZANIA NDANI...

Zambia imealikwa katika michuano ya kombe la Cecafa ambalo linatarajiwa kufanyika nchini Kenya kuanzia Novemba 28 .
Kenya itaanda mashindano hayo mwaka huu kwa mara ya kwanza katika miaka 17 maofisa wa CECAFA wamesema hii leo.
katibu mkuu wa Cecafa Nicholas Musonye amesema kuwa nchi zingine mbili kutoka kusini mwa Afrika zimeomba kushiriki michuano hiyo.
lakini Zimbabwe na Malawi wameambiwa kuwa kuna nafasi kwa Taifa moja tu kutoka kusini na kati mwa Afrika.
wazambia wamekuwa wakialikwa katika michuano ya CECAFA tangu mwaka 2007 walipolitwaa kombe hilo huko Ethiopia.
zambia wataungana na wenyeji Kenya,Tanzania, Uganda, Ethiopia, Sudan na Somalia, nchi nyingine shiriki ni Rwanda, Burundi, Eritrea, Djibouti na Zanzibar.
makundi mawili ya michuano hiyo yatakua mji mkuu wa Nairobi huku kundi la tatu litakua Mumias karibu na mpaka wa Kenya-Uganda.
jumla ya michezo 26 inatarajiwa kuchezwa katika wiki mbili za michuano ya CECAFA itakayofanyika huko Kenya.

No comments :

Post a Comment